الموضوع: Virusi Ya Korona Ni Kutokana Na Adhabu Ya Chini Pasni Na Adhabu Kuu Huwenda Wakaregea

1

Virusi Ya Korona Ni Kutokana Na Adhabu Ya Chini Pasni Na Adhabu Kuu Huwenda Wakaregea


-1-
Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
10 رجب 1441 هـ
05 - 03 - 2020 مـ
12:51 مساءً
(حسب التقويم الرسمي لأمّ القُرى)

[ili kufwatilia cha bayana asili]
https://mahdialumma.xyz/showthread.php?p=324206
____________________________


فايروس كورونا من العذاب الأدنى دون العذاب الأكبر لعلهم يرجعون..
Virusi Ya Korona Ni Kutokana Na Adhabu Ya Chini Pasni Na Adhabu Kuu Huwenda Wakaregea


Bismillah Al'Rahman Al'Rahim, Na Sala Za Allah Ju Ya Ma Nabi Wake Na Ma Wali Wake Katika Kila Zama Na Pahali Wala Hawana Khofu Ju Yao Kutokana Na Adhabu Yake Wala Hawahuzuniki, Na Kiasi gani tumewanasihi watowaji uwamuzi viongozi wa waislamu haaswa na makafiri kwa jumla na wakanushaji lakini hawapendi wanao toa nasaha, Na ala kuli hali hakika wamekadhibisha Wanao kadhibisha hadithi ya Allah sawa ni mulhidina wasio amini kitu ama washirikina ama waislamu ispokua walio rehemewa na Mola Mlezi wangu miongoni mwao na akapata kwa imani yake kheri, Na nimewawacha kwa Allah Al'Wahid Al'Qahar Ambae amenifanya Khalifa Wake Ju ya ulimwengu ili Anidhihirishe ju yenu Kwa Uwezo Wake Na Nguvu Zake, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{ Basi niache na wanao kadhibisha maneno haya! Tutawavutia kidogo kidogo kwa mahali wasipo pajua (44) Na ninawapururia muhula; hakika hila zangu ni imara (45)} Sadaqa Allah Al3adhim [ Alqalam ].
{فَذَرْنِي وَمَن يُكَذِّبُ بِهَٰذَا الْحَدِيثِ ۖ سَنَسْتَدْرِجُهُم مِّنْ حَيْثُ لَا يَعْلَمُونَ ﴿٤٤﴾وَأُمْلِي لَهُمْ ۚ إِنَّ كَيْدِي مَتِينٌ﴿٤٥﴾ } صدق الله العظيم [القلم].

Na Huyo Hapo Amewapa changamoto kwa askari mdogo kabisa katika ma askari wake haonekani kwa jicho la kawaida basi akatingisha ma taifa za ulimwengu kuu na madogo mtingisho mkuu nae tu ni virusi va ki binadamu hamuna ilimu nae kutoka wapi Amewavamia Allah nae Anawapa changamoto Allah nayo wote Wanasaikolojia, Basi hapana wala hawatoweza kupata chanjo ya kukinga kama wanavo dai kiasi wanavo tangaza basi wasiwafitini! Basi Wallahi Hakika Wao Ni Warongo (Kiyasi ya kwamba nae ni kitu hai kidogo ni katika ma askari wa Allah walio fichika) Na hata kama watakusanyika kwajili yake ma tabibu wa binadamu wote; Hata kama watasaidiana badhi yao ju ya badhi na kunusuriana basi hapana wala hawatoweza kwa idhini ya Allah ili mujuwe kua nyinyi hamuna kwa kitu katika ilimu Yake ispokua kwa yale anao taka Ametukuka Subahanahu, Lakini nyinyi kaumu mulhidina hamuamini na mutaenda kuona kutokana na hila ya askari wa Allah asiojulikana (Virusi Korona) Anae Kaba ambae hamukutaraji nayo, Na Awapate Kwa njia ya kuambukiza kwake ambao ni smart na ya kufichika ili afikishe kwa Anae mtaka Allah katika wakubwa wenu kutokana na njia hawajuwi, Na naona Shirika la Afya Ulimwenguni hawajaitambua kua ni Janga la ulimwengu bado! Kwakua wao kwa kudai kwao kua Wataidhibiti na hakika wao ni warongo, Basi vipi wataidhibiti adhabu ya Allah?! Lakini Mimi ni Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Khalifa Wa Allah Ju Ya Ulimwengu nawapa fatwa kwa haki kua nayo sio janga tu la ulimwengu bali adhabu ya kiulimwengu, Na vile nayo ni aina ya adhabu ya chini mbali na adhabu kuu huenda mukarudi basi hatimai vifo ni kidogo mwanzo wa jambo lakini Majeruhi walio patikana kwa sasa kwa mamlioni na wengi miongoni mwao hawajui kua wao wamejuruhika nayo na hivi ni hila kotoka Kwa Allah ili wambukize kaumu wengine wanadhani wao wako kwenye amani kutokana na Adhabu ya Allah inao kaba kwa mfumo wa kupumua basi ndio imtie dhiki kupumwa pumzi kwake basi imkabe kutoa pumzi kidogo kidogo kama kwamba anapanda mbinguni mpaka imkabe kwa sababu ya kuambatana mfumo wa kupumua na njia yake, Na vipi Asiwasibu Allah wanao kiburi Anae Mtaka Allah miongoni mwao na wao wanastahiki kuipata? Hawo ni wakanushaji kutokana na utajo wa Mola Mlezi wao huwenda wakarudi na Angamize nayo Allah Anae Mtaka miongoni mwao mawawaidha kwa ulimwengu huwenda wakarudi kwa Mola Mlezi wao Wa Haki kwa kumnyenyekea na kwa dua kua awaondoshe ju yao adhabu Yake na wamwabudu Allah kwamba wafwate kitabu chake Al'Quran Al3adhim na Wamtake Allah Awakitishe Amabae Anageuza baina yao na nyoyo zao ndio wataraji k

wa Allah Awakitishe kutimiza yale walio mwahidi kua awaondoshe adhabu yake ndio awaondoshe kwao ili wafwate kitabu chake Al'Quran Al3adhim ili awe ni katika walio ongoka.

Na ile nao taka kuhitimisha nayo Bayana yangu hi ni mwito kutoka kwa Allah katika ilio wazi maana yake Kitabu Chake katika wakati wakuwadhia adhabu Yake kwa maradhi ya vifua, Kusadikisha kauli ya Allah Ta3ala:
{ Enyi watu! Yamekujieni mawaidha kutoka kwa Mola wenu Mlezi, na poza kuponyesha yaliyomo vifuani, na uwongofu, na rehema kwa Waumini}..
{ يَا أَيُّهَا النَّاسُ قَدْ جَاءَتْكُم مَّوْعِظَةٌ مِّن رَّبِّكُمْ وَشِفَاءٌ لِّمَا فِي الصُّدُورِ وَهُدًى وَرَحْمَةٌ لِّلْمُؤْمِنِينَ﴿٥٧﴾} صدق الله العظيم [يونس]..


Basi hio mawaidha ya adhabu na mawaidha ya wachaji na ujuwe kua hio ni adhabu na maumivu na mshtuko mkuu kwa mataifa huwenda wakatubu ndio wamwabudu Allah Pekeuake Hana mshirika nae na watubu kutokana na madhambi maku na dhulma na fahisha yalio dhihiri na yalio fichika kwa siri na kwa dhahiri na watawadhe wudhu kamili ili wamwabudu Allah Pekeyake hana mshirika basi wasiombe pasi na Allah Yoyote, Na mujuwe kwa yakini kua hi ni adhabu ya kiulimwengu ilio fichika hila kutoka kwa Allah Al'Wahid Al'Qahar wala sio tu maafa kama munavo dai, Haihat Haihat Na Hakika Mtaenda Kujua, Basi kimbieni kutokana na Allah Mumkimbilie kwake hakika mimi kwenu kutoka kwake ni monyaji baini, Na wala musifunge nyumba zake kutokana na wanao kimbia kwa Mola wao Mlezi ili wasmamishe swala kwajili ya Mola Mlezi wao Pekeyake Hana mshirika nae, Na hakika misikiti ni ya Allah basi wasiombe pamoja na Allah yoyote, Na atakae ingia nyumba za Allah kwajili ya kumwabudu Yeye basi yeye yuko katika usalama kutokana na virusi ya kukaba na hata kama wataingia pamoja na yeye waliojuruhika nayo walio kimbilia kwa Allah basi hakika hawatambukiza wanao swali walio wema wale ambao wameamini na ju ya Mola Mlezi wao wanategemea, Basi tegemeni ju Allah ikiwa nyinyi ni waumini.

Na mujuwe virusi ya korona ni adhabu mpya yenye nguvu kali maradhi ya vifua kidogo kidogo mpaka ikate pumzi kwa Anae mtaka Allah, Na atakae kutibika nayo basi ajue kua sio sababu ni dawa ya ma tabibu bali kwa sababu ya dua yake kwa Allah Arhama Arahimin, Basi haitakiwi kwao kua wapate matibabu kutokana na adhabu ya Allah kwakua sio mtihani ili ijulikane yaliomo vifuani mwenu bali ni adhabu inampata kwenye kifua cha Anae Mtaka Allah katika wakanushaji miongoni mwenu huwenda wakarudi, Na kati yenu mwenye kumfikia mauti kwa adhabu ya kukabwa na pumzi hio ndio munao ita (virusi ya korona) Wala sio ispokua ni kutokana na adhabu ya chini kwa wengi katika watu huwenda wakarudi na kwa Mola Mlezi wao wakanyenyekea ndio Awaondoshe kwao adhabu mbaya ndio wafwate kitabu cha haki kutoka kwa Mola Mlezi wao Al'Quran Al3adhim.

Na Hapana na wala hatowaondoshea wale wenye kusujudu ju ya wanao ita mchanga wa alhusen! Basi hajateremsha Allah kwa hayo utawala sio katika Al'Quran Wala katika sunna ya Bayana ya haki kutoka kwa Mola Mlezi wao bali wameizusha kutoka kwa nafsi zao, Na hapana na wala Hatowawaondoshea watu wa dua kwa walio makaburi ili wawaondeshe maovu! Basi hawasiki dua zao na hata wakisikia hawatowajibu dua zao na siku ya kiyama watawakufuru shirki yao na watajitenga na wao na watakua dhidi yao, Na kiasi gani nime'wahadharisha na nimewanasihi kua musiombe pamoja na Allah yoyote lakini kwa maskitiko hawamini kwa Allah wengi wao ispokua wao wamshirikishe, Na hivo hivo nawahadharisha wadhalimu kwa jumla wakubwa wao na walio mawali wao katika taifa za kislamu na ulimwengu kutokana na adhabu ya Allah ilio chini na adhabu katika ma alama nyengine mpaka iwefinike adhabu kuu kwa wale waliokua na jeuri katika mataifa na wakadhulumu mataifa yao bila haki wakazidisha katika ardhi ufisadi hakika ya Mola Mlezi wako yuko katika mavizio anawavizia.

Na nawahadharisha hivo hivo kutokana na adhabu ya kijisayari cha adhabu cha mtingisho kinatigisha nyuma ya Bahari ya Atlantic kwa magharibi nayo katika taifa la amerika ndio iyeneze vumbi la mchanga wa ardhi yao ndio ijaze mchanga wa ardhi yao anga ya ulimwengu na wimbi la kupiga litaenea pembezo

ni ya hu ulimwengu wote na mutaenda kujua hakika sisi ni wakweli kwa idhni ya Allah Mola Mlezi wa ulimwengu, Na Sayari ya saqar baada ya hayo ikiwa haitowafanya kijisayari cha adhabu kukumbuka, Basi mcheni Allah enye wenye Akili.

Na imekuja fasadi kuu ambao imeahidiwa katika ardhi ya msikiti wa alaqsa ilio barikiwa mwanzo wa kibla mbili, Hakika uharamu wa msikiti wa alaqsa kwa Allah kama uharamu wa msikiti wa haram enye mulio uza nyumba ya Allah almuadham, Basi hamutopata kwenu pasi na Allah wali wala mzuwizi kutokana na adhabu yake na hakika mutapata hasara ya dunia na akhera hio ndio khasara ilio wazi hakika mimi kwenu ni mwenye kuwanasihi mwamwinifu, Na imewajia mauti na nyinyi muko katika ghafla mwakanusha, Allahuma nimebalighisha.. Allahuma Shuhudia, Na salam Ju Ya Mitume Na Alhamdulillah Rabil3alamin.

Khalifa Wa Allah Na Mja Wake; Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.
خليفة الله وعبدُه؛ الإمام المهديّ ناصرُ محمدٍ اليمانيّ.
_________

اقتباس: اضغط للقراءة
Ilisasishwa mwisho: 26-12-2022 10:59 PM