الموضوع: Allahuma Nimebalighisha Kua Jua Limefikia Mwezi Ikazaliwa Mwandamo Kabla Ya Kusuf Ikakutana Nae Ikiwa Ni Mwandamo..

1

Allahuma Nimebalighisha Kua Jua Limefikia Mwezi Ikazaliwa Mwandamo Kabla Ya Kusuf Ikakutana Nae Ikiwa Ni Mwandamo..

Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamanj
الإمام ناصر محمد اليماني
13 - ذو القعدة - 1441 هـ
04 - 07 - 2020 مـ
11:31 مساءً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
_________


Allahuma Nimebalighisha Kua Jua Limefikia Mwezi Ikazaliwa Mwandamo Kabla Ya Kusuf Ikakutana Nae Ikiwa Ni Mwandamo..


Bismillah Alrrahman Alrrahim Mumba Wa Mbingu Na Ardhi Na Jua Na Mwezi Na Nyota Zaendeshwa Kwa Amri Yake, Na Sala Na Salam Ju Ya Khatimu Wa Ma Nabi Na Mitume Kwa Ukumbusho Wake Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Jamii Almuminin Katika Wamwanzo Na Wa Mwisho Na Kwenye Anga Za Ju Mpaka Siku Ya Duni, Ama Baada Ya Hapo..


Na enyi ma3ashara ya binadamu, Kwa vile jua limefika mwezi ikazaliwa mwandamo kabla ya kusuf ikakutana nae ikiwa ni mwandamo, Basi hatimai usiku hu wa jumapili ni ma siku ya kwanza ya mwezi kua kamili, Usiku wa nusu ya mwezi wa dhi alqaida wa mwaka wenu hu 1441 kulingana na kufikiliwa, Kwajili ya hivo mwaona sasa mwezi wa mwezi wa dhi alqaida kweli umefika hali ya kua kamili albadr kwa wanao angalia kwa watu wote jioni ya juma mosi usiku wa jumapili ishara ya kiulimwengu inao vuka, Je ni uchawi hu ama kua nyinyi hamuoni? Allahuma Nimebalighisha Allahuma shuhudia basi Kwaku Hukumu na Amri, Allahuma hukumu baina yetu kwa haki Hakika Wewe Ni Mbora Wa Kufafanua


Na enyi ma3ashara ya ma ansar, Hakika mimi siwakatazi kuipiga picha mwezi kamili ili kufwatilia kukamilika saa za kua kamili sawa sawa ya siku ya kwanza usiku hu usiku wa jumapili mpaka Alfajiri kulingana kwa wale wanao jadiliana na nyinyi kwa vinywle na wao wajua kwamba viji nyele haiji ispokua katika usiku wakuingia mwezi kukamilika badri usiku wa katikati ya mwezi ndio ikamilike katika nusu ya usiku na wajuzi wa falaki hakika wanajua hayo, Na ikabainika kwa wajuzi wa falaki wote kua jua kweli limefikia mwezi ikazaliwa mwandamo kabla ya kusuf ikakutana nae ikiwa ni mwandamo tayari, Basi aidha watambuwe kwa haki kwa ile inao wahusu kua jua kweli limefikilia mwezi ikazaliwa mwandamo kabla ya kusuf nayo ni ile wanao ita kushikana kituoni na jina lake katika ilio wazi maana yake Al'Quran Karara gongwe (alarjun alqadim) nayo ni kuondoka kiangaza ya mwezi ulio malizika, Haitakiwi kwa jua kua lifikilie mwezi wala usiku utangulie mchana na zote zaolea kwenye falaki kutoka Alipo Umba Allah Mbingu na Ardhi mpaka ingie milele katika zama za ma sharti ya saa kuu ndio jua lifikilie mwezi kwa sababu ya kuzaliwa mwandamo kabla ya kusuf na ikakutana nae jua katika karara kongwe na tayari ni mwandamo, Na hio ina sababisha kufura miandamo na kukamilika mwezi mapema kabla usiku wa katikati ya mwezi ya kifalaki kulingana na kuonekana kwake ki sharia inao ngojewa katika kila mwezi onyo kwa wanadamu, Na ika kariri onyo kwa watu wote na waka zingatia hayo kuona wanadamu wote kua mwezi imekua yafanyika kukamilika kamili kabla usiku wa kati kati inao ngojewa kulingana na kuthubutu kuonekana kwake kisharia kwa wote wanadamu kisha wana wapoteza kuhusu onyo baadhi ya wajuzi wa falaki wanao fanya kiburi miongoni mwao na wao wajua ilimu ya yakini kua jua kweli limefikilia Mwezi ndio izaliwe mwandamo kabla kushikana kituoni na ikakutana nae jua ikiwa ni mwandamo tayari,


Na katika wajuzi wa falaki mwenye alio gundua kwa ishara ya kufikiliwa waka nyamaza, Na nani alie dhulumu kuliko alie ficha ushuhuda kwake kutoka kwa Allah? Basi nani atawazuwia wenye kiburi kutokana na adhabu ya Mola Mlezi wa ulimwengu? Hasbia Allah La illaha ila Huwa Aleyhi Tawakaltu Wahuwa Rabil3arshi Al3adhim.


Na Salama Ju Ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabil3alamin..
Khalifa Wa Allah Na Mja Wake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.
خليفة الله وعبده الإمام المهدي ناصر محمد اليماني.
__________
اقتباس: اضغط للقراءة
Ilisasishwa mwisho: 02-10-2020 11:17 PM