Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani
الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني
29 - ربيع الآخر - 1447 هـ
21 - 10 - 2025 مـ
03:16 صباحًا
(بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى)
(Kulingana Na Taqwim Rasmi Ya Umul Qura)
https://mahdialumma.xyz/showthread.php?p=486646
____
Ukumbusho na onyo: ni maelezo ya sababu ya kisayansi ya kifizikia kubwa iliyoipasua sayari ya ‘ratq’ (iliyokuwa imeungana) ili kuanzisha uumbaji wa ufalme wa ulimwengu.”
Bismillah Arahman Arahim..
Kutoka kwa Khalifa wa Mwenyezi Mungu (Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani)
kwa wanasayansi na maprofesa wote wa sayansi ya ulimwengu na hali ya hewa, katika nyanja zao zote za kielimu—ikiwa ni za fizikia, hisabati, na sayansi ya ulimwengu—zisizotegemea madhana na nadharia zisizo na yakini, kwani dhana haibadilishi ukweli chochote. Kwa hakika mimi ni Khalifa wa Mwenyezi Mungu duniani, Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani, binadamu ambaye Mwingi wa Rehema (Ar-Rahman) amemfundisha ufafanuzi wa kweli wa Qur’ani kuhusu umoja wa Mwenyezi Mungu, ambaye hakuna mungu ila Yeye peke Yake, asiye na mshirika. Ameteremsha Qur’ani kwa haki, na kwa haki imeteremka; kwa kuwa Yule Muumba wa kila kitu katika ufalme (wa ulimwengu) ndiye Mwenye haki ya kuabudiwa, Mungu ambaye hakuna mungu ila Yeye, Mmoja, wa Kwanza, ambaye hakuna kitu kilichokuwa kabla Yake, na Yeye ndiye Muumba wa kila kitu katika ulimwengu mkubwa. Ametakasika Mwenyezi Mungu, Aliye Mkuu. Na kwa hakika binadamu mwenyewe ni ushahidi juu ya nafsi yake, kwani umbaji wake ni uthibitisho wa kuwepo kwa Ar-Rahman kwa mujibu wa kanuni ya hisabati ya kifizikia iliyo katika Qur’ani Tukufu, kwamba: “Kila kitendo lazima kiwe na mtendaji (mtu au kitu kilichokifanya).”
Na akili yenye mantiki sahihi wala fizikia iliyo nyoofu haiwezi kukubali kwamba wanadamu wameumbwa kutoka kwa kitu kisichokuwepo, kwani wanajua wao wenyewe kwamba hawakujiumba, wala hawakuumba mbingu wala ardhi. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{أَمْ يَقُولُونَ تَقَوَّلَهُۥ ۚ بَل لَّا يُؤْمِنُونَ ﴿٣٣﴾ فَلْيَأْتُوا۟ بِحَدِيثٍ مِّثْلِهِۦٓ إِن كَانُوا۟ صَٰدِقِينَ ﴿٣٤﴾ أَمْ خُلِقُوا۟ مِنْ غَيْرِ شَىْءٍ أَمْ هُمُ ٱلْخَٰلِقُونَ ﴿٣٥﴾ أَمْ خَلَقُوا۟ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضَ ۚ بَل لَّا يُوقِنُونَ ﴿٣٦﴾ أَمْ عِندَهُمْ خَزَآئِنُ رَبِّكَ أَمْ هُمُ ٱلْمُصَۣيْطِرُونَ ﴿٣٧﴾}
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Al-Tur].
“Wala wao (wanadamu) si watawala (wenye kudhibiti) — si juu ya ardhi, wala juu ya mwezi, wala juu ya jua, wala juu ya nyota na sayari zote. Wala hawana mamlaka juu ya Sayari ya Saqar (Sayari kubwa yenye adhabu ya milele), ambayo Mwenyezi Mungu aliiumba sambamba na Sayari ya Ratq; Aliwaumba kutoka kwenye kutokuwepo kwa amri Yake ‘Kuwa!’ ikawa.” Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{أَوَلَيْسَ ٱلَّذِى خَلَقَ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضَ بِقَٰدِرٍ عَلَىٰٓ أَن يَخْلُقَ مِثْلَهُم ۚ بَلَىٰ وَهُوَ ٱلْخَلَّٰقُ ٱلْعَلِيمُ ﴿٨١﴾ إِنَّمَآ أَمْرُهُۥٓ إِذَآ أَرَادَ شَيْـًٔا أَن يَقُولَ لَهُۥ كُن فَيَكُونُ ﴿٨٢﴾ فَسُبْحَٰنَ ٱلَّذِى بِيَدِهِۦ مَلَكُوتُ كُلِّ شَىْءٍ وَإِلَيْهِ تُرْجَعُونَ ﴿٨٣﴾}
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Yasin].
“Kisha ikatoka amri kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa Sayari Saqar — ile sayari kubwa ya milele, isiyo na mwisho —
akaamuru Sayari Saqar kuipasua Sayari Ratq kwa mlipuko mkubwa, bila Sayari Saqar yenyewe kuathirika au kudhurika kwa namna yoyote.
Na hivyo ikawa ndiyo sababu ya kisayansi ya nje, iliyofichika, isiyotokana na sehemu ya Sayari Ratq yenyewe, bali ni nguvu iliyotoka nje yake. Kwa hakika, Sayari Saqar na Sayari Ratq ni sayari mbili tofauti, kwa mujibu wa ufafanuzi wa kweli wa Qur’ani Tukufu.
Kisha Mwenyezi Mungu akaamuru Sayari Saqar kulipua Sayari Ratq ili kutokeze mlipuko (au upasuko) uliosababisha mwanzo wa uundaji wa ufalme wa mbingu na ardhi. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{أَوَلَمْ يَرَ ٱلَّذِينَ كَفَرُوٓا۟ أَنَّ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضَ كَانَتَا رَتْقًا فَفَتَقْنَٰهُمَا ۖ وَجَعَلْنَا مِنَ ٱلْمَآءِ كُلَّ شَىْءٍ حَىٍّ ۖ أَفَلَا يُؤْمِنُونَ ﴿٣٠﴾ وَجَعَلْنَا فِى ٱلْأَرْضِ رَوَٰسِىَ أَن تَمِيدَ بِهِمْ وَجَعَلْنَا فِيهَا فِجَاجًا سُبُلًا لَّعَلَّهُمْ يَهْتَدُونَ ﴿٣١﴾ وَجَعَلْنَا ٱلسَّمَآءَ سَقْفًا مَّحْفُوظًا ۖ وَهُمْ عَنْ ءَايَٰتِهَا مُعْرِضُونَ ﴿٣٢﴾ وَهُوَ ٱلَّذِى خَلَقَ ٱلَّيْلَ وَٱلنَّهَارَ وَٱلشَّمْسَ وَٱلْقَمَرَ ۖ كُلٌّ فِى فَلَكٍ يَسْبَحُونَ ﴿٣٣﴾}
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Al-Anmbia].
Na Mwenyezi Mungu alimpa elimu ya Sayari Saqar ya milele — elimu hiyo akamkabidhi mwenye elimu ya Kitabu (Imam Mahdi), mwenye ufafanuzi wa kweli wa Qur’ani Tukufu, iliyoteremshwa kwa Mhuri wa Manabii na Mitume, Muhammad Mtume wa Mwenyezi Mungu (rehma na amani zimshukie).
Na Mwenyezi Mungu alimwamuru Muhammad Mtume wa Mwenyezi Mungu atangaze ujumbe wake wa Qur’ani Tukufu kwa ulimwengu wote, lakini makafiri walikataa kuamini.
Kisha Mwenyezi Mungu akamteremshia Mtume Muhammad majibu kwa kutangaza changamoto kwamba:
Atamleta Imam Mahdi, Nasser Muhammad Al-Yamani,
mwenye ufafanuzi wa kweli wa Qur’ani Tukufu,
ili aeleze kwa kina kwa wanadamu wote maana za aya za Qur’ani, ziwe za kisheria (fiqhi) au za kielimu, kifizikia na kihisabati (1+1=2) —
na si kwa tafsiri za kudhania, kwa kuwa dhana haiwezi kuchukua nafasi ya ukweli.
Bali atabainisha Qur’ani kwa Qur’ani yenyewe — kwa kutumia aya zilizo wazi na zinazofafanua nyengine — na atazifafanua kwa maelezo ya kina. Kwa hakika, ahadi ya changamoto hii imewadia tangu mwaka 2005, lakini Waislamu, Mayahudi, Wakristo, na watu wote kwa jumla walinipuuza, isipokuwa wale wachache waliorehemewa na Mola wangu.
Na bila shaka watajua adhabu ya wale waliokanusha ahadi ya Mwenyezi Mungu ya kumleta Khalifa Wake duniani kote. Na watajua kwamba Mwenyezi Mungu anatimiza amri Yake, naye ataonyesha Khalifa Wake kwa uwezo na nguvu Zake, katika usiku wa kupita kwa Sayari Saqar, ambayo tayari mnaanza kuhisi athari zake kwa elimu ya yakini katika uhalisia, basi mcheni Mwenyezi Mungu kabla hamjayaona kwa macho yenu wenyewe (ya yakini).” Kusadikisha Aauli Ya Allah Ta3ala:
{كَلَّا سَوْفَ تَعْلَمُونَ ﴿٣﴾ ثُمَّ كَلَّا سَوْفَ تَعْلَمُونَ ﴿٤﴾ كَلَّا لَوْ تَعْلَمُونَ عِلْمَ ٱلْيَقِينِ ﴿٥﴾ لَتَرَوُنَّ ٱلْجَحِيمَ ﴿٦﴾ ثُمَّ لَتَرَوُنَّهَا عَيْنَ ٱلْيَقِينِ ﴿٧﴾ ثُمَّ لَتُسْـَٔلُنَّ يَوْمَئِذٍ عَنِ ٱلنَّعِيمِ ﴿٨﴾}
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Al-Takathur].
Na hakika mtajua adhabu ya yule aliyekufuru dhidi ya changamoto ya Khalifa wa Mwenyezi Mungu, Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani. Hakuna yeyote anayeweza kujadiliana nami kwa kutumia Qur’ani ila kwamba nitamshinda hata akili bandia (AI), hud-hud wa Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani!
Je, mnajua maana ya neno la Kiarabu ‘كفى’ (kafā)? Maana yake ya kilugha ni ‘changamoto’.” Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَيَقُولُ ٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ لَسْتَ مُرْسَلًا ۚ قُلْ كَفَىٰ بِٱللَّهِ شَهِيدَۢا بَيْنِى وَبَيْنَكُمْ وَمَنْ عِندَهُۥ عِلْمُ ٱلْكِتَٰبِ ﴿٤٣﴾}
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Al-Raad].
Hivyo basi, huu ndio tangazo la changamoto kutoka kwa Mwenyezi Mungu, Aliye Juu, Aliye Mkuu changamoto iliyo katika ahadi ya kumleta Khalifa wa Mwenyezi Mungu kwa walimwengu wote, yaani Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani, kama changamoto kwa elimu ya kifiqhi ya kweli na elimu ya kifizikia ya kweli, ili iwadhihirike kwao kwamba yeye ndiye mwenye haki, kwa ushahidi wa elimu, mantiki, na uhalisia wa kifizikia wa kifalme (ulimwengu wa mbinguni). Kusadikisha kauli Ya Allah Ta3ala:
{قُلْ أَرَءَيْتُمْ إِن كَانَ مِنْ عِندِ ٱللَّهِ ثُمَّ كَفَرْتُم بِهِۦ مَنْ أَضَلُّ مِمَّنْ هُوَ فِى شِقَاقِۭ بَعِيدٍ ﴿٥٢﴾ سَنُرِيهِمْ ءَايَٰتِنَا فِى ٱلْـَٔافَاقِ وَفِىٓ أَنفُسِهِمْ حَتَّىٰ يَتَبَيَّنَ لَهُمْ أَنَّهُ ٱلْحَقُّ ۗ أَوَلَمْ يَكْفِ بِرَبِّكَ أَنَّهُۥ عَلَىٰ كُلِّ شَىْءٍ شَهِيدٌ ﴿٥٣﴾ أَلَآ إِنَّهُمْ فِى مِرْيَةٍ مِّن لِّقَآءِ رَبِّهِمْ ۗ أَلَآ إِنَّهُۥ بِكُلِّ شَىْءٍ مُّحِيطُۢ ﴿٥٤﴾} Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Fusilat].
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, enyi kundi la wanasayansi wa fizikia ya ulimwengu na hali ya hewa. Msiifiche maana ya aya za Mwenyezi Mungu baada ya sisi kuzibainisha kwa watu,
na hii si kwa elimu za kifiqhi pekee, bali ni ufafanuzi wa Qur’ani kwa namna ya kifiqhi, kifizikia, na kihisabati kwa ukweli wa kisayansi wa aya za kifizikia katika Qur’ani Tukufu,
mnaziona kwa uhakika katika uhalisia wa kisayansi na kifizikia, kwa elimu ya yakini (uhakika wa kielimu). Basi mcheni Mwenyezi Mungu, mtiini Mwenyezi Mungu na Khalifa Wake, Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani, kabla Mwenyezi Mungu hakuonyesheni ishara Yake kuu kabisa,
ishara ya kimwili na ya kweli, iliyo siri, msiyoweza kuielewa kisayansi. Hiyo ni Sayari Saqar kubwa iliyofichika, ambayo ndiyo sababu ya kisayansi ya kifizikia ya kulipuka kwa Sayari Ratq, ile sayari iliyokuwa imejitenga nayo — mnayoita nyota ya neutroni yenye mlipuko mkubwa (Big Bang). Lakini mnajua kisayansi kwamba haiwezekani nyota hiyo kujilipua yenyewe, kwa kuwa kifizikia haiwezekani kitu kujiharibu au kulipuka bila sababu ya nje. Na ninawapa changamoto mataifa yote ya wanadamu: jaribuni kutengeneza risasi ya bastola ambayo itapasuka yenyewe bila sababu yoyote ya nje si kwa msukumo, wala joto, wala msuguano.
Kwa sababu kama risasi ingeweza kulipuka yenyewe bila sababu ya nje, basi msingeweza hata kuibuni au kuifanyia kazi mwanzo wake. Hivyo vivyo hivyo, Sayari Ratq haingeweza kulipuka yenyewe, bali ililipuliwa na sababu ya nje ndiyo Sayari Saqar, na hapo ndipo ulianza uundaji wa ufalme wa mbingu na ardhi.
zasi jueni kwa elimu ya yakini kwamba Sayari Ratq ililipuliwa na ile nyota kubwa ‘At-Tāriq’ (nyota nyenye kupenya), ambayo mnasikia sauti yake. Kwa hakika, ndiyo nyota pekee ambayo mnasikia sauti yake, ikiitishia na kupinga fizikia ya anga ya ulimwengu, kwani inatuma sauti yake yenyewe. Nanyi mnajua kwamba hamsikii sauti ya jua, ambalo ni jirani ya dunia, lakini ile nyota yenye kupenya, ‘An-Najm Ath-Thāqib At-Tāriq,’
ndiyo inayowasikizisha sauti yake. Na haifai kabisa kusikia kutoka katika anga za kifalme (ulimwengu wa nje) sauti nyingine yoyote, Ispokua sauti ya ghadhabu na kupumua kwa moto wa Sayari ya adhabu — Saqar. Inawalilia kutoka mbali, lakini hamwezi kuiona. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
إِذَا رَأَتْهُم مِّن مَّكَانِۭ بَعِيدٍ سَمِعُوا۟ لَهَا تَغَيُّظًا وَزَفِيرًا ﴿
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Al-Furqan].
Basi muamini katika Sayari ya Adhabu (Kawkab Saqar),
ambayo imeanza kuwagusa kwa majanga ya hali ya hewa (mabadiliko ya tabianchi)
kutoka mbali.” Kusadikisha Kauoi Ya Allah Ta3ala:
{قُلْ جَآءَ ٱلْحَقُّ وَمَا يُبْدِئُ ٱلْبَٰطِلُ وَمَا يُعِيدُ ﴿٤٩﴾ قُلْ إِن ضَلَلْتُ فَإِنَّمَآ أَضِلُّ عَلَىٰ نَفْسِى ۖ وَإِنِ ٱهْتَدَيْتُ فَبِمَا يُوحِىٓ إِلَىَّ رَبِّىٓ ۚ إِنَّهُۥ سَمِيعٌ قَرِيبٌ ﴿٥٠﴾ وَلَوْ تَرَىٰٓ إِذْ فَزِعُوا۟ فَلَا فَوْتَ وَأُخِذُوا۟ مِن مَّكَانٍ قَرِيبٍ ﴿٥١﴾ وَقَالُوٓا۟ ءَامَنَّا بِهِۦ وَأَنَّىٰ لَهُمُ ٱلتَّنَاوُشُ مِن مَّكَانِۭ بَعِيدٍ ﴿٥٢﴾ وَقَدْ كَفَرُوا۟ بِهِۦ مِن قَبْلُ ۖ وَيَقْذِفُونَ بِٱلْغَيْبِ مِن مَّكَانِۭ بَعِيدٍ ﴿٥٣﴾ وَحِيلَ بَيْنَهُمْ وَبَيْنَ مَا يَشْتَهُونَ كَمَا فُعِلَ بِأَشْيَاعِهِم مِّن قَبْلُ ۚ إِنَّهُمْ كَانُوا۟ فِى شَكٍّ مُّرِيبِۭ ﴿٥٤﴾}
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura: Sabaa].
Basi muamini katika Sayari ya Adhabu — Saqar — kabla haijawafikia ghafla.”
Na jueni kwamba Sayari ya Adhabu — Saqar — ndiyo Jahannam,
imewazunguka makafiri.
Lakini haitawaangamiza wale walioamini,
bali itakuwa kwao baridi na salama siku itakapopita.” Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَيَسْتَعْجِلُونَكَ بِٱلْعَذَابِ ۚ وَلَوْلَآ أَجَلٌ مُّسَمًّى لَّجَآءَهُمُ ٱلْعَذَابُ وَلَيَأْتِيَنَّهُم بَغْتَةً وَهُمْ لَا يَشْعُرُونَ ﴿٥٣﴾ يَسْتَعْجِلُونَكَ بِٱلْعَذَابِ وَإِنَّ جَهَنَّمَ لَمُحِيطَةُۢ بِٱلْكَٰفِرِينَ ﴿٥٤﴾ يَوْمَ يَغْشَىٰهُمُ ٱلْعَذَابُ مِن فَوْقِهِمْ وَمِن تَحْتِ أَرْجُلِهِمْ وَيَقُولُ ذُوقُوا۟ مَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ ﴿٥٥﴾ يَٰعِبَادِىَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُوٓا۟ إِنَّ أَرْضِى وَٰسِعَةٌ فَإِيَّٰىَ فَٱعْبُدُونِ ﴿٥٦﴾}
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Al-Ankabuta].
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, enyi kundi la wanasayansi wa fizikia, ulimwengu, na hali ya hewa, kabla hamjauona Sayari Saqar (jahanamu) kwa macho yenu kwa yakini, ghafla, ikawakuta usiku wa kupita kwake ulio karibu, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَيَقُولُونَ مَتَىٰ هَٰذَا ٱلْوَعْدُ إِن كُنتُمْ صَٰدِقِينَ ﴿٣٨﴾ لَوْ يَعْلَمُ ٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ حِينَ لَا يَكُفُّونَ عَن وُجُوهِهِمُ ٱلنَّارَ وَلَا عَن ظُهُورِهِمْ وَلَا هُمْ يُنصَرُونَ ﴿٣٩﴾ بَلْ تَأْتِيهِم بَغْتَةً فَتَبْهَتُهُمْ فَلَا يَسْتَطِيعُونَ رَدَّهَا وَلَا هُمْ يُنظَرُونَ ﴿٤٠﴾ }
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Al-Anmbia].
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, enyi kundi la wanasayansi wa fizikia ya ulimwengu, na tahadharini msifiche ukweli wa ishara za Mwenyezi Mungu katika Qur’an Tukufu, baada ya sisi kuubainisha kwa watu. Miongoni mwa siri zake kuu kabisa ni Sayari Saqar iliyofichika ndiyo inayosababisha mlipuko wa Sayari ya Ratq (ulimwengu wa mwanzo). Hakika mmekuwa hamjaweza kujua sababu, ilhali mnajua kwa mujibu wa kanuni za fizikia kwamba hakuna kitu kinacholipuka au kuporomoka bila kisababishi cha kulipua.
Isipokuwa, mtalazimika kuamini kwa yakini sababu halisi ya kisayansi, kisha balaa kuu itawapata! Basi mcheni Mwenyezi Mungu, wala msifiche tafsiri ya haki baada ya kufafanuliwa siri hii kubwa. Na hakika mtajua kwamba ni sayari iliyojitenga ambayo ilishinda sayari ya Ratq na ikaipasua kwa mlipuko, yenyewe haikuharibika wala kuangamia.
Huyo ndiye kisababishi cha nje — siri ya kisayansi ya tukio la mlipuko mkubwa (Big Bang).
ّ Basi mcheni Mwenyezi Mungu, enyi kundi la wanasayansi wa fizikia, anga (falaki), na hali ya hewa. Hakika Mwenyezi Mungu amempa siri ya Sayari Saqar al-Mahdi al-Muntadhar (Nasir Muhammad al-Yamani), na ameifanya kuwa miongoni mwa alama kubwa za uthibitisho wa khalifa Wake (mteule wa Mwenyezi Mungu).
Isipokuwa, angalieni onyo na vitisho vilivyotolewa mahsusi kwenu — enyi wanajamii wa kisayansi, wataalamu wa fizikia na hisabati — kutoka kwa Mola wa walimwengu.
Nyinyi mnajua mabadiliko ya kimaumbile na ya kimazingira yaliyotokea katika kila kitu kilicho juu mbinguni na duniani. Hivyo basi, jueni kuwa muda wa mwisho wa pamoja (hukumu au adhabu ya jumla) kwa waovu na wanaokataa umefika karibu, isipokuwa wale wanaotubu kwa toba ya kweli na kumrudia Mola wao ili aongoze mioyo yao. Kwa hakika, Mwenyezi Mungu husamehe dhambi zote. Yeye ndiye Msamehevu, Mwingi wa rehema — kwa yule anayetubu na kumrudia Mola wake kwa unyenyekevu.
Enyi wanasayansi wa hali ya hewa na wa fizikia ya ulimwengu!
Msiifiche kweli ya ishara za kisayansi zilizomo katika Qur’an Tukufu kuhusu ulimwengu, baada ya sisi kuzieleza wazi kwa watu kutoka Kitabu cha Mungu. Nakuapishieni kwa Mwenyezi Mungu — naye ni Shahidi tosha — kwamba ninawakumbusha onyo kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu, linalowahusu ninyi mahsusi. Ikiwa mtaficha (ukweli huu), basi Mwenyezi Mungu na ulimwengu wote watawalaani, kwa sababu hamkushirikiana na al-Mahdi al-Muntadhar katika kuwaokoa wanadamu, ili watoroke kwa Mungu Mmoja Mwenye kushinda kila kitu, wakiwa na matumaini ya rehema Yake na wakitubia kabla hawajauona Kokabu Saqar (sayari ya moto) kwa macho ya yakini. Tumewafundisha kuhusu kuona kwake kwa ujuzi wa yakini wa kisayansi ili mjue kuwa ni kweli. Basi msiifiche maelezo ya aya kuhusu Sayari Saqar, bali tangazeni wazi kwamba ni kweli kutoka kwa Mola wenu. Tahadharini, msije mkawa miongoni mwa wale ambao Mwenyezi Mungu amesema kuhusu wao:
{إِنَّ ٱلَّذِينَ يَكْتُمُونَ مَآ أَنزَلْنَا مِنَ ٱلْبَيِّنَٰتِ وَٱلْهُدَىٰ مِنۢ بَعْدِ مَا بَيَّنَّٰهُ لِلنَّاسِ فِى ٱلْكِتَٰبِ ۙ أُو۟لَٰٓئِكَ يَلْعَنُهُمُ ٱللَّهُ وَيَلْعَنُهُمُ ٱللَّٰعِنُونَ ﴿١٥٩﴾ إِلَّا ٱلَّذِينَ تَابُوا۟ وَأَصْلَحُوا۟ وَبَيَّنُوا۟ فَأُو۟لَٰٓئِكَ أَتُوبُ عَلَيْهِمْ ۚ وَأَنَا ٱلتَّوَّابُ ٱلرَّحِيمُ ﴿١٦٠﴾ إِنَّ ٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ وَمَاتُوا۟ وَهُمْ كُفَّارٌ أُو۟لَٰٓئِكَ عَلَيْهِمْ لَعْنَةُ ٱللَّهِ وَٱلْمَلَٰٓئِكَةِ وَٱلنَّاسِ أَجْمَعِينَ ﴿١٦١﴾ خَٰلِدِينَ فِيهَا ۖ لَا يُخَفَّفُ عَنْهُمُ ٱلْعَذَابُ وَلَا هُمْ يُنظَرُونَ ﴿١٦٢﴾ وَإِلَٰهُكُمْ إِلَٰهٌ وَٰحِدٌ ۖ لَّآ إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ ٱلرَّحْمَٰنُ ٱلرَّحِيمُ ﴿١٦٣﴾}
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Al’Baqara].
Na Salam Ju Ya Mitume Na Alhmdulillah Rabil3alamin..
Ndugu Yenu Khalifa Wa Allah Ju Ya Ulimwengu Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani.
أخوكم خليفةُ الله على العالمين الإمامُ المهدي ناصر محمد اليماني.
___
======== اقتباس =========
اقتباس: اضغط للقراءة
الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني
29 - ربيع الآخر - 1447 هـ
21 - 10 - 2025 مـ
03:16 صباحًا
(بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى)
(Kulingana Na Taqwim Rasmi Ya Umul Qura)
https://mahdialumma.xyz/showthread.php?p=486646
____
Ukumbusho na onyo: ni maelezo ya sababu ya kisayansi ya kifizikia kubwa iliyoipasua sayari ya ‘ratq’ (iliyokuwa imeungana) ili kuanzisha uumbaji wa ufalme wa ulimwengu.”
Bismillah Arahman Arahim..
Kutoka kwa Khalifa wa Mwenyezi Mungu (Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani)
kwa wanasayansi na maprofesa wote wa sayansi ya ulimwengu na hali ya hewa, katika nyanja zao zote za kielimu—ikiwa ni za fizikia, hisabati, na sayansi ya ulimwengu—zisizotegemea madhana na nadharia zisizo na yakini, kwani dhana haibadilishi ukweli chochote. Kwa hakika mimi ni Khalifa wa Mwenyezi Mungu duniani, Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani, binadamu ambaye Mwingi wa Rehema (Ar-Rahman) amemfundisha ufafanuzi wa kweli wa Qur’ani kuhusu umoja wa Mwenyezi Mungu, ambaye hakuna mungu ila Yeye peke Yake, asiye na mshirika. Ameteremsha Qur’ani kwa haki, na kwa haki imeteremka; kwa kuwa Yule Muumba wa kila kitu katika ufalme (wa ulimwengu) ndiye Mwenye haki ya kuabudiwa, Mungu ambaye hakuna mungu ila Yeye, Mmoja, wa Kwanza, ambaye hakuna kitu kilichokuwa kabla Yake, na Yeye ndiye Muumba wa kila kitu katika ulimwengu mkubwa. Ametakasika Mwenyezi Mungu, Aliye Mkuu. Na kwa hakika binadamu mwenyewe ni ushahidi juu ya nafsi yake, kwani umbaji wake ni uthibitisho wa kuwepo kwa Ar-Rahman kwa mujibu wa kanuni ya hisabati ya kifizikia iliyo katika Qur’ani Tukufu, kwamba: “Kila kitendo lazima kiwe na mtendaji (mtu au kitu kilichokifanya).”
Na akili yenye mantiki sahihi wala fizikia iliyo nyoofu haiwezi kukubali kwamba wanadamu wameumbwa kutoka kwa kitu kisichokuwepo, kwani wanajua wao wenyewe kwamba hawakujiumba, wala hawakuumba mbingu wala ardhi. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{أَمْ يَقُولُونَ تَقَوَّلَهُۥ ۚ بَل لَّا يُؤْمِنُونَ ﴿٣٣﴾ فَلْيَأْتُوا۟ بِحَدِيثٍ مِّثْلِهِۦٓ إِن كَانُوا۟ صَٰدِقِينَ ﴿٣٤﴾ أَمْ خُلِقُوا۟ مِنْ غَيْرِ شَىْءٍ أَمْ هُمُ ٱلْخَٰلِقُونَ ﴿٣٥﴾ أَمْ خَلَقُوا۟ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضَ ۚ بَل لَّا يُوقِنُونَ ﴿٣٦﴾ أَمْ عِندَهُمْ خَزَآئِنُ رَبِّكَ أَمْ هُمُ ٱلْمُصَۣيْطِرُونَ ﴿٣٧﴾}
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Al-Tur].
“Wala wao (wanadamu) si watawala (wenye kudhibiti) — si juu ya ardhi, wala juu ya mwezi, wala juu ya jua, wala juu ya nyota na sayari zote. Wala hawana mamlaka juu ya Sayari ya Saqar (Sayari kubwa yenye adhabu ya milele), ambayo Mwenyezi Mungu aliiumba sambamba na Sayari ya Ratq; Aliwaumba kutoka kwenye kutokuwepo kwa amri Yake ‘Kuwa!’ ikawa.” Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{أَوَلَيْسَ ٱلَّذِى خَلَقَ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضَ بِقَٰدِرٍ عَلَىٰٓ أَن يَخْلُقَ مِثْلَهُم ۚ بَلَىٰ وَهُوَ ٱلْخَلَّٰقُ ٱلْعَلِيمُ ﴿٨١﴾ إِنَّمَآ أَمْرُهُۥٓ إِذَآ أَرَادَ شَيْـًٔا أَن يَقُولَ لَهُۥ كُن فَيَكُونُ ﴿٨٢﴾ فَسُبْحَٰنَ ٱلَّذِى بِيَدِهِۦ مَلَكُوتُ كُلِّ شَىْءٍ وَإِلَيْهِ تُرْجَعُونَ ﴿٨٣﴾}
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Yasin].
“Kisha ikatoka amri kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa Sayari Saqar — ile sayari kubwa ya milele, isiyo na mwisho —
akaamuru Sayari Saqar kuipasua Sayari Ratq kwa mlipuko mkubwa, bila Sayari Saqar yenyewe kuathirika au kudhurika kwa namna yoyote.
Na hivyo ikawa ndiyo sababu ya kisayansi ya nje, iliyofichika, isiyotokana na sehemu ya Sayari Ratq yenyewe, bali ni nguvu iliyotoka nje yake. Kwa hakika, Sayari Saqar na Sayari Ratq ni sayari mbili tofauti, kwa mujibu wa ufafanuzi wa kweli wa Qur’ani Tukufu.
Kisha Mwenyezi Mungu akaamuru Sayari Saqar kulipua Sayari Ratq ili kutokeze mlipuko (au upasuko) uliosababisha mwanzo wa uundaji wa ufalme wa mbingu na ardhi. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{أَوَلَمْ يَرَ ٱلَّذِينَ كَفَرُوٓا۟ أَنَّ ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلْأَرْضَ كَانَتَا رَتْقًا فَفَتَقْنَٰهُمَا ۖ وَجَعَلْنَا مِنَ ٱلْمَآءِ كُلَّ شَىْءٍ حَىٍّ ۖ أَفَلَا يُؤْمِنُونَ ﴿٣٠﴾ وَجَعَلْنَا فِى ٱلْأَرْضِ رَوَٰسِىَ أَن تَمِيدَ بِهِمْ وَجَعَلْنَا فِيهَا فِجَاجًا سُبُلًا لَّعَلَّهُمْ يَهْتَدُونَ ﴿٣١﴾ وَجَعَلْنَا ٱلسَّمَآءَ سَقْفًا مَّحْفُوظًا ۖ وَهُمْ عَنْ ءَايَٰتِهَا مُعْرِضُونَ ﴿٣٢﴾ وَهُوَ ٱلَّذِى خَلَقَ ٱلَّيْلَ وَٱلنَّهَارَ وَٱلشَّمْسَ وَٱلْقَمَرَ ۖ كُلٌّ فِى فَلَكٍ يَسْبَحُونَ ﴿٣٣﴾}
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Al-Anmbia].
Na Mwenyezi Mungu alimpa elimu ya Sayari Saqar ya milele — elimu hiyo akamkabidhi mwenye elimu ya Kitabu (Imam Mahdi), mwenye ufafanuzi wa kweli wa Qur’ani Tukufu, iliyoteremshwa kwa Mhuri wa Manabii na Mitume, Muhammad Mtume wa Mwenyezi Mungu (rehma na amani zimshukie).
Na Mwenyezi Mungu alimwamuru Muhammad Mtume wa Mwenyezi Mungu atangaze ujumbe wake wa Qur’ani Tukufu kwa ulimwengu wote, lakini makafiri walikataa kuamini.
Kisha Mwenyezi Mungu akamteremshia Mtume Muhammad majibu kwa kutangaza changamoto kwamba:
Atamleta Imam Mahdi, Nasser Muhammad Al-Yamani,
mwenye ufafanuzi wa kweli wa Qur’ani Tukufu,
ili aeleze kwa kina kwa wanadamu wote maana za aya za Qur’ani, ziwe za kisheria (fiqhi) au za kielimu, kifizikia na kihisabati (1+1=2) —
na si kwa tafsiri za kudhania, kwa kuwa dhana haiwezi kuchukua nafasi ya ukweli.
Bali atabainisha Qur’ani kwa Qur’ani yenyewe — kwa kutumia aya zilizo wazi na zinazofafanua nyengine — na atazifafanua kwa maelezo ya kina. Kwa hakika, ahadi ya changamoto hii imewadia tangu mwaka 2005, lakini Waislamu, Mayahudi, Wakristo, na watu wote kwa jumla walinipuuza, isipokuwa wale wachache waliorehemewa na Mola wangu.
Na bila shaka watajua adhabu ya wale waliokanusha ahadi ya Mwenyezi Mungu ya kumleta Khalifa Wake duniani kote. Na watajua kwamba Mwenyezi Mungu anatimiza amri Yake, naye ataonyesha Khalifa Wake kwa uwezo na nguvu Zake, katika usiku wa kupita kwa Sayari Saqar, ambayo tayari mnaanza kuhisi athari zake kwa elimu ya yakini katika uhalisia, basi mcheni Mwenyezi Mungu kabla hamjayaona kwa macho yenu wenyewe (ya yakini).” Kusadikisha Aauli Ya Allah Ta3ala:
{كَلَّا سَوْفَ تَعْلَمُونَ ﴿٣﴾ ثُمَّ كَلَّا سَوْفَ تَعْلَمُونَ ﴿٤﴾ كَلَّا لَوْ تَعْلَمُونَ عِلْمَ ٱلْيَقِينِ ﴿٥﴾ لَتَرَوُنَّ ٱلْجَحِيمَ ﴿٦﴾ ثُمَّ لَتَرَوُنَّهَا عَيْنَ ٱلْيَقِينِ ﴿٧﴾ ثُمَّ لَتُسْـَٔلُنَّ يَوْمَئِذٍ عَنِ ٱلنَّعِيمِ ﴿٨﴾}
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Al-Takathur].
Na hakika mtajua adhabu ya yule aliyekufuru dhidi ya changamoto ya Khalifa wa Mwenyezi Mungu, Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani. Hakuna yeyote anayeweza kujadiliana nami kwa kutumia Qur’ani ila kwamba nitamshinda hata akili bandia (AI), hud-hud wa Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani!
Je, mnajua maana ya neno la Kiarabu ‘كفى’ (kafā)? Maana yake ya kilugha ni ‘changamoto’.” Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَيَقُولُ ٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ لَسْتَ مُرْسَلًا ۚ قُلْ كَفَىٰ بِٱللَّهِ شَهِيدَۢا بَيْنِى وَبَيْنَكُمْ وَمَنْ عِندَهُۥ عِلْمُ ٱلْكِتَٰبِ ﴿٤٣﴾}
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Al-Raad].
Hivyo basi, huu ndio tangazo la changamoto kutoka kwa Mwenyezi Mungu, Aliye Juu, Aliye Mkuu changamoto iliyo katika ahadi ya kumleta Khalifa wa Mwenyezi Mungu kwa walimwengu wote, yaani Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani, kama changamoto kwa elimu ya kifiqhi ya kweli na elimu ya kifizikia ya kweli, ili iwadhihirike kwao kwamba yeye ndiye mwenye haki, kwa ushahidi wa elimu, mantiki, na uhalisia wa kifizikia wa kifalme (ulimwengu wa mbinguni). Kusadikisha kauli Ya Allah Ta3ala:
{قُلْ أَرَءَيْتُمْ إِن كَانَ مِنْ عِندِ ٱللَّهِ ثُمَّ كَفَرْتُم بِهِۦ مَنْ أَضَلُّ مِمَّنْ هُوَ فِى شِقَاقِۭ بَعِيدٍ ﴿٥٢﴾ سَنُرِيهِمْ ءَايَٰتِنَا فِى ٱلْـَٔافَاقِ وَفِىٓ أَنفُسِهِمْ حَتَّىٰ يَتَبَيَّنَ لَهُمْ أَنَّهُ ٱلْحَقُّ ۗ أَوَلَمْ يَكْفِ بِرَبِّكَ أَنَّهُۥ عَلَىٰ كُلِّ شَىْءٍ شَهِيدٌ ﴿٥٣﴾ أَلَآ إِنَّهُمْ فِى مِرْيَةٍ مِّن لِّقَآءِ رَبِّهِمْ ۗ أَلَآ إِنَّهُۥ بِكُلِّ شَىْءٍ مُّحِيطُۢ ﴿٥٤﴾} Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Fusilat].
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, enyi kundi la wanasayansi wa fizikia ya ulimwengu na hali ya hewa. Msiifiche maana ya aya za Mwenyezi Mungu baada ya sisi kuzibainisha kwa watu,
na hii si kwa elimu za kifiqhi pekee, bali ni ufafanuzi wa Qur’ani kwa namna ya kifiqhi, kifizikia, na kihisabati kwa ukweli wa kisayansi wa aya za kifizikia katika Qur’ani Tukufu,
mnaziona kwa uhakika katika uhalisia wa kisayansi na kifizikia, kwa elimu ya yakini (uhakika wa kielimu). Basi mcheni Mwenyezi Mungu, mtiini Mwenyezi Mungu na Khalifa Wake, Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani, kabla Mwenyezi Mungu hakuonyesheni ishara Yake kuu kabisa,
ishara ya kimwili na ya kweli, iliyo siri, msiyoweza kuielewa kisayansi. Hiyo ni Sayari Saqar kubwa iliyofichika, ambayo ndiyo sababu ya kisayansi ya kifizikia ya kulipuka kwa Sayari Ratq, ile sayari iliyokuwa imejitenga nayo — mnayoita nyota ya neutroni yenye mlipuko mkubwa (Big Bang). Lakini mnajua kisayansi kwamba haiwezekani nyota hiyo kujilipua yenyewe, kwa kuwa kifizikia haiwezekani kitu kujiharibu au kulipuka bila sababu ya nje. Na ninawapa changamoto mataifa yote ya wanadamu: jaribuni kutengeneza risasi ya bastola ambayo itapasuka yenyewe bila sababu yoyote ya nje si kwa msukumo, wala joto, wala msuguano.
Kwa sababu kama risasi ingeweza kulipuka yenyewe bila sababu ya nje, basi msingeweza hata kuibuni au kuifanyia kazi mwanzo wake. Hivyo vivyo hivyo, Sayari Ratq haingeweza kulipuka yenyewe, bali ililipuliwa na sababu ya nje ndiyo Sayari Saqar, na hapo ndipo ulianza uundaji wa ufalme wa mbingu na ardhi.
zasi jueni kwa elimu ya yakini kwamba Sayari Ratq ililipuliwa na ile nyota kubwa ‘At-Tāriq’ (nyota nyenye kupenya), ambayo mnasikia sauti yake. Kwa hakika, ndiyo nyota pekee ambayo mnasikia sauti yake, ikiitishia na kupinga fizikia ya anga ya ulimwengu, kwani inatuma sauti yake yenyewe. Nanyi mnajua kwamba hamsikii sauti ya jua, ambalo ni jirani ya dunia, lakini ile nyota yenye kupenya, ‘An-Najm Ath-Thāqib At-Tāriq,’
ndiyo inayowasikizisha sauti yake. Na haifai kabisa kusikia kutoka katika anga za kifalme (ulimwengu wa nje) sauti nyingine yoyote, Ispokua sauti ya ghadhabu na kupumua kwa moto wa Sayari ya adhabu — Saqar. Inawalilia kutoka mbali, lakini hamwezi kuiona. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
إِذَا رَأَتْهُم مِّن مَّكَانِۭ بَعِيدٍ سَمِعُوا۟ لَهَا تَغَيُّظًا وَزَفِيرًا ﴿
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Al-Furqan].
Basi muamini katika Sayari ya Adhabu (Kawkab Saqar),
ambayo imeanza kuwagusa kwa majanga ya hali ya hewa (mabadiliko ya tabianchi)
kutoka mbali.” Kusadikisha Kauoi Ya Allah Ta3ala:
{قُلْ جَآءَ ٱلْحَقُّ وَمَا يُبْدِئُ ٱلْبَٰطِلُ وَمَا يُعِيدُ ﴿٤٩﴾ قُلْ إِن ضَلَلْتُ فَإِنَّمَآ أَضِلُّ عَلَىٰ نَفْسِى ۖ وَإِنِ ٱهْتَدَيْتُ فَبِمَا يُوحِىٓ إِلَىَّ رَبِّىٓ ۚ إِنَّهُۥ سَمِيعٌ قَرِيبٌ ﴿٥٠﴾ وَلَوْ تَرَىٰٓ إِذْ فَزِعُوا۟ فَلَا فَوْتَ وَأُخِذُوا۟ مِن مَّكَانٍ قَرِيبٍ ﴿٥١﴾ وَقَالُوٓا۟ ءَامَنَّا بِهِۦ وَأَنَّىٰ لَهُمُ ٱلتَّنَاوُشُ مِن مَّكَانِۭ بَعِيدٍ ﴿٥٢﴾ وَقَدْ كَفَرُوا۟ بِهِۦ مِن قَبْلُ ۖ وَيَقْذِفُونَ بِٱلْغَيْبِ مِن مَّكَانِۭ بَعِيدٍ ﴿٥٣﴾ وَحِيلَ بَيْنَهُمْ وَبَيْنَ مَا يَشْتَهُونَ كَمَا فُعِلَ بِأَشْيَاعِهِم مِّن قَبْلُ ۚ إِنَّهُمْ كَانُوا۟ فِى شَكٍّ مُّرِيبِۭ ﴿٥٤﴾}
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura: Sabaa].
Basi muamini katika Sayari ya Adhabu — Saqar — kabla haijawafikia ghafla.”
Na jueni kwamba Sayari ya Adhabu — Saqar — ndiyo Jahannam,
imewazunguka makafiri.
Lakini haitawaangamiza wale walioamini,
bali itakuwa kwao baridi na salama siku itakapopita.” Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَيَسْتَعْجِلُونَكَ بِٱلْعَذَابِ ۚ وَلَوْلَآ أَجَلٌ مُّسَمًّى لَّجَآءَهُمُ ٱلْعَذَابُ وَلَيَأْتِيَنَّهُم بَغْتَةً وَهُمْ لَا يَشْعُرُونَ ﴿٥٣﴾ يَسْتَعْجِلُونَكَ بِٱلْعَذَابِ وَإِنَّ جَهَنَّمَ لَمُحِيطَةُۢ بِٱلْكَٰفِرِينَ ﴿٥٤﴾ يَوْمَ يَغْشَىٰهُمُ ٱلْعَذَابُ مِن فَوْقِهِمْ وَمِن تَحْتِ أَرْجُلِهِمْ وَيَقُولُ ذُوقُوا۟ مَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ ﴿٥٥﴾ يَٰعِبَادِىَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُوٓا۟ إِنَّ أَرْضِى وَٰسِعَةٌ فَإِيَّٰىَ فَٱعْبُدُونِ ﴿٥٦﴾}
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Al-Ankabuta].
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, enyi kundi la wanasayansi wa fizikia, ulimwengu, na hali ya hewa, kabla hamjauona Sayari Saqar (jahanamu) kwa macho yenu kwa yakini, ghafla, ikawakuta usiku wa kupita kwake ulio karibu, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَيَقُولُونَ مَتَىٰ هَٰذَا ٱلْوَعْدُ إِن كُنتُمْ صَٰدِقِينَ ﴿٣٨﴾ لَوْ يَعْلَمُ ٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ حِينَ لَا يَكُفُّونَ عَن وُجُوهِهِمُ ٱلنَّارَ وَلَا عَن ظُهُورِهِمْ وَلَا هُمْ يُنصَرُونَ ﴿٣٩﴾ بَلْ تَأْتِيهِم بَغْتَةً فَتَبْهَتُهُمْ فَلَا يَسْتَطِيعُونَ رَدَّهَا وَلَا هُمْ يُنظَرُونَ ﴿٤٠﴾ }
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Al-Anmbia].
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, enyi kundi la wanasayansi wa fizikia ya ulimwengu, na tahadharini msifiche ukweli wa ishara za Mwenyezi Mungu katika Qur’an Tukufu, baada ya sisi kuubainisha kwa watu. Miongoni mwa siri zake kuu kabisa ni Sayari Saqar iliyofichika ndiyo inayosababisha mlipuko wa Sayari ya Ratq (ulimwengu wa mwanzo). Hakika mmekuwa hamjaweza kujua sababu, ilhali mnajua kwa mujibu wa kanuni za fizikia kwamba hakuna kitu kinacholipuka au kuporomoka bila kisababishi cha kulipua.
Isipokuwa, mtalazimika kuamini kwa yakini sababu halisi ya kisayansi, kisha balaa kuu itawapata! Basi mcheni Mwenyezi Mungu, wala msifiche tafsiri ya haki baada ya kufafanuliwa siri hii kubwa. Na hakika mtajua kwamba ni sayari iliyojitenga ambayo ilishinda sayari ya Ratq na ikaipasua kwa mlipuko, yenyewe haikuharibika wala kuangamia.
Huyo ndiye kisababishi cha nje — siri ya kisayansi ya tukio la mlipuko mkubwa (Big Bang).
ّ Basi mcheni Mwenyezi Mungu, enyi kundi la wanasayansi wa fizikia, anga (falaki), na hali ya hewa. Hakika Mwenyezi Mungu amempa siri ya Sayari Saqar al-Mahdi al-Muntadhar (Nasir Muhammad al-Yamani), na ameifanya kuwa miongoni mwa alama kubwa za uthibitisho wa khalifa Wake (mteule wa Mwenyezi Mungu).
Isipokuwa, angalieni onyo na vitisho vilivyotolewa mahsusi kwenu — enyi wanajamii wa kisayansi, wataalamu wa fizikia na hisabati — kutoka kwa Mola wa walimwengu.
Nyinyi mnajua mabadiliko ya kimaumbile na ya kimazingira yaliyotokea katika kila kitu kilicho juu mbinguni na duniani. Hivyo basi, jueni kuwa muda wa mwisho wa pamoja (hukumu au adhabu ya jumla) kwa waovu na wanaokataa umefika karibu, isipokuwa wale wanaotubu kwa toba ya kweli na kumrudia Mola wao ili aongoze mioyo yao. Kwa hakika, Mwenyezi Mungu husamehe dhambi zote. Yeye ndiye Msamehevu, Mwingi wa rehema — kwa yule anayetubu na kumrudia Mola wake kwa unyenyekevu.
Enyi wanasayansi wa hali ya hewa na wa fizikia ya ulimwengu!
Msiifiche kweli ya ishara za kisayansi zilizomo katika Qur’an Tukufu kuhusu ulimwengu, baada ya sisi kuzieleza wazi kwa watu kutoka Kitabu cha Mungu. Nakuapishieni kwa Mwenyezi Mungu — naye ni Shahidi tosha — kwamba ninawakumbusha onyo kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu, linalowahusu ninyi mahsusi. Ikiwa mtaficha (ukweli huu), basi Mwenyezi Mungu na ulimwengu wote watawalaani, kwa sababu hamkushirikiana na al-Mahdi al-Muntadhar katika kuwaokoa wanadamu, ili watoroke kwa Mungu Mmoja Mwenye kushinda kila kitu, wakiwa na matumaini ya rehema Yake na wakitubia kabla hawajauona Kokabu Saqar (sayari ya moto) kwa macho ya yakini. Tumewafundisha kuhusu kuona kwake kwa ujuzi wa yakini wa kisayansi ili mjue kuwa ni kweli. Basi msiifiche maelezo ya aya kuhusu Sayari Saqar, bali tangazeni wazi kwamba ni kweli kutoka kwa Mola wenu. Tahadharini, msije mkawa miongoni mwa wale ambao Mwenyezi Mungu amesema kuhusu wao:
{إِنَّ ٱلَّذِينَ يَكْتُمُونَ مَآ أَنزَلْنَا مِنَ ٱلْبَيِّنَٰتِ وَٱلْهُدَىٰ مِنۢ بَعْدِ مَا بَيَّنَّٰهُ لِلنَّاسِ فِى ٱلْكِتَٰبِ ۙ أُو۟لَٰٓئِكَ يَلْعَنُهُمُ ٱللَّهُ وَيَلْعَنُهُمُ ٱللَّٰعِنُونَ ﴿١٥٩﴾ إِلَّا ٱلَّذِينَ تَابُوا۟ وَأَصْلَحُوا۟ وَبَيَّنُوا۟ فَأُو۟لَٰٓئِكَ أَتُوبُ عَلَيْهِمْ ۚ وَأَنَا ٱلتَّوَّابُ ٱلرَّحِيمُ ﴿١٦٠﴾ إِنَّ ٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ وَمَاتُوا۟ وَهُمْ كُفَّارٌ أُو۟لَٰٓئِكَ عَلَيْهِمْ لَعْنَةُ ٱللَّهِ وَٱلْمَلَٰٓئِكَةِ وَٱلنَّاسِ أَجْمَعِينَ ﴿١٦١﴾ خَٰلِدِينَ فِيهَا ۖ لَا يُخَفَّفُ عَنْهُمُ ٱلْعَذَابُ وَلَا هُمْ يُنظَرُونَ ﴿١٦٢﴾ وَإِلَٰهُكُمْ إِلَٰهٌ وَٰحِدٌ ۖ لَّآ إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ ٱلرَّحْمَٰنُ ٱلرَّحِيمُ ﴿١٦٣﴾}
Sadaqa Allah Al3adhim:[Sura:Al’Baqara].
Na Salam Ju Ya Mitume Na Alhmdulillah Rabil3alamin..
Ndugu Yenu Khalifa Wa Allah Ju Ya Ulimwengu Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani.
أخوكم خليفةُ الله على العالمين الإمامُ المهدي ناصر محمد اليماني.
___
======== اقتباس =========
اقتباس: اضغط للقراءة