الموضوع: Jua litaufikia mwezi katika tarehe 28 Shaaban na litakutana nalo kama mwezi mpevu jioni ya Alhamisi usiku wa Ijumaa iliyobarikiwa mwezi wa kwanza wa Ramadhani 1446 Hijiria

1

Jua litaufikia mwezi katika tarehe: (28 - Shaaban) na litakutana nalo kama mwezi mpevu jioni ya Alhamisi, usiku wa Ijumaa iliyobarikiwa, mwezi wa kwanza wa Ramadhani 1446 Hijiria.

Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani
الإمام المهديّ ناصر محمد اليمانيّ
18 - شعبان - 1446 هـ
17 - 02 - 2025 مـ
09:40 صباحًا
(Kulingana Na Taqwimu Rasmi Ya Umul Qura)
(بحسب التَّقويم الرّسميّ لأم القُرى)
___


Jua litaufikia mwezi katika tarehe: (28 - Shaaban) na litakutana nalo kama mwezi mpevu jioni ya Alhamisi, usiku wa Ijumaa iliyobarikiwa, mwezi wa kwanza wa Ramadhani 1446 Hijiria.


Bismillah Arahman Arahim La ilaha Ila Huwa Al’Wahid Al’Qahar, Na Swala Na Salam Ju Ya Muhammed Mtumi Wa Allah kwa Al’Quran Al3adhim Kitabu cha Allah Rehema kwa walimwengu kwa yule atakae miongoni mwao kunyoka, Hamtaki ila akitaka Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote. Haya ni kwa anayeelekea kwa Mola wake Mlezi auongoze moyo wake, kisha Ama Baad..


Basi niruhusu nikushiriki ukweli kuhusu mwezi mpevu wa Ramadhani kwa mwaka huu (1446), kinyume na wanaastronomia wote duniani waliotangaza mwandamo wa mwezi kabla ya kuanza kwa kuzaliwa kwa mwezi mpevu wa Ramadhani siku ya Alhamisi asubuhi kabla ya makutano ya katikati ya Ijumaa usiku, kwa hayo:
Siku ya kwanza ya Ramadhani itakuwa katika usiku wa Ijumaa iliyobarikiwa, wakati mwezi mpevu wa Ramadhani utakutana na jua katikati mwa mwezi mpya, na itakuwa mwezi wa mpevu siku ya Alhamisi jioni, usiku wa Ijumaa uliobarikiwa, usiku wa kwanza wa Ramadhani 1446.


Lau wanavyuoni wa Kiislamu wangejitolea kutofunga Ramadhani mpaka waione kwa macho yao, kama Mitumi na waliowafuata kutoka kwa Waumini waliotangulia katika njia ya Unabii, wasingelifunga mwezi wa Ramadhani mpaka waushuhudie kwa macho yao wenyewe, basi Waislamu wote wangejua kwamba jua limeufikia mwezi na mwezi mpevu ulizaliwa kabla Kupatwa kwa jua; Kwa kuwa walimwengu hawatauona mwezi wa Ramadhani kwa macho kwa mwaka wenu huu (1446) isipokuwa baada ya kuzama kwa jua usiku wa Jumamosi, Jumapili (usiku wa mfungo tatu wa Ramadhani); Ukweli kwamba Alhamisi jioni kuingia usiku Wa Ijumaa ni (usiku Wa kwanza Ramadhani), Na Siku ya jumamosi ni Tarehe (Mbili Ramadhani), Na baada kuzama Jua la jumamosi usiku Wa jumapili (Ni ulazi Wa siku ya Tatu), Na nakariri na nasema hakika kwanza kuona mwandamo wa Ramadhani kwa Jicho la kawaida ni: jioni jumamosi usiku Wa jumapili; Hapa, walimwengu wote wataweza kuona tukio la mojawapo ya alama kuu za Saa, na wataona mwezi mpevu wa Ramadhani ukivimba Jumamosi jioni, Jumapili usiku; Kisha watu wote wa Kiislamu husema, licha ya pua zao: "Huu ni mwezi mpevu kwa usiku mbili au tatu, basi hii ikoje!" Kitu gani Kilichotokea mwezini, japokuwa huu ndio muandamo wa kwanza wa mwezi mpevu wa Ramadhani kwa macho! Je, kunawezaje ivimbe na ni usiku mbili kuwenda ya usiku tatu?!" Kisha wenye akili watakumbuka kwamba jua liliufika mwezi kabla ya usiku kutangilia mchana, kisha watasema: Alisema Kaweli “Muhammad, Mtumi wa Mwenyezi Mungu – rehema na amani ziwe juu yake na familia yake – ambaye hasemi kwa matamanio yake, Amesema:
[من اقتراب الساعة أن يُرى الهلال قبلًا، فيقال: لليلتين أو ثلاث] صدق عليه الصَّلاة والسَّلام؛
[Moja ya alama za Saa inayokaribia ni kwamba mwando huonekana mapema, na husemwa: "Kwa mikesha miwili au mitat], alisema kweli ju yake swala na Salam." Kwa kuwa mwandamo wa Jumamosi jioni (Jumapili usiku) ulipita kweli kutoka mwezi wa Ramadhani usiku wa Ijumaa (moja - Ramadhani) na Jumamosi usiku hadi machweo ya Jumamosi (Ramadhani mbili) kuanza kuingia kwa Jumapili usiku (usiku wa tatu wa Ramadhani), Lakini wanaastronomia wanaoingia kwenye nyumba kwa migongo yao kabla ya kuuona mwezi mpevu kwa macho wamejipotosha wao na taifa lao; Wamekupoteza na amri ya Mwenyezi Mungu na Mitumi wake wote, kwa amri ya Mwenyezi Mungu ya kufunga mwezi wa Ramadhani (kwamba ufunge unapouona kwa macho); Wala hawatapata mlinzi wala msaidizi isipo kuwa Mwenyezi Mungu.


Wakati wao umefika pamoja na makafiri kama wao, isipokuwa wale ambao Mola wangu Mlezi amewarehemu;


Kwakua was Lau wangeshikamana na amri ya Mwenyezi Mungu, hawange’wafungisha walimwengu isipokuwa kwa kuuona mwandamo wa mwezi wa Ramadhani kwa macho ya kawaida kwa wanajimu na kwa macho ya kawaida ya wanavioni wa dini na kila mwenye macho anae ona kwa hivl ingeonekana kwa walimwengu kutoka (Ramadhani - 1425 Hijria) Kwamba kweli Jua Limeufikilia mwezi ukazaliwa mwandamo kabla ya kushikwa ikakutana nae jua nayo ni mwandamo kama vile itatokea kwa mwandamo wa Ramadhani mwisho wa shaabani hi inao endelea (1446), Na Lea vile mwandamo wa Ramadhani itakutana na nao ushaandama jioni ya alhamisi usiku wa ijuma; Kwa hiyo bila shaka kupotea mwangaza wa mwezi wa mwisho wa Shaabani siku ya Alhamisi asubuhi (tarehe ishirini na nane Shaabani); kwakua Jua pia liliufikia mwezi katika mwezi wa sasa wa Sha’ban;
Kwa hiyo, tunawathibitishia walimwengu kile ninachojua kwa yakini kwamba mwezi kua kizani bila shaka utakuwa mwishoni mwa mwezi wa Sha’ban (alfajiri ya tarehe ishirini na nane Sha’ban – Alhamisi) ndio Jua hukutana nalo kama mwezi mpevu jioni ya Alhamisi kuingia usiku wa Ijumaa; Kwajili ya hayo utapamazuka mwezi kua kamili wa Imam Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani usiku wa Nusu ya Ramadhani baada kuzama jua la alhamisi (Usiku wa ijumaa), Na je kunae anae kumbuka?! Na wala sitozidisha ju ya hayo kitu na kwa Mwenyezi Mungu Mambo yaanarudi, Na nitafunga kulingana na tangazo la Mji Mku wa khilafa wa kislamu (Sanaa), Na kila moja afunge kulingana na tanagazo ya inchi yake na huwenda wao wakawafwata wanazuoni wa falaki wale amabao wamepoteza nafsi zao wakawapoteza umma wao na ilikua wasitangaze funga ya mwezi wa ramadhani mpaka waone kwa macho yao haswa (jicho la Kwaida) Jioni ya juma mosi usiku wa juma’pili pindi Wanapouona mwandamo wa mwezi wa Ramadhani siku utakapodhihiri kwa walimwengu, vile Mwenyezi Mungu Ataka tuone kwa macho ya kawaida, umevimba ni (usiku mbili, kimbilio la tatu); Kisha Waislamu wanajua kuwa jua hakika limeufikia mwezi, hivyo wanamwamini Mwenyezi Mungu na Mtumi wake, na Mahdi anayesubiriwa, Nasser Muhammad Al-Yamani, Lakini nashuhudia kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu kwamba hata Mwenyezi Mungu atamsaidia kiasi gani khalifa wake kwa ishara za ulimwengu, hawataamini mpaka waione adhabu chungu, isipokuwa kwa yule anayeelekea kwa Mwenyezi Mungu, Mola wake, auongoze moyo wake; Hii ndiyo sheria ya uwongofu katika Kitabu, na hawatakumbuka ila wenye akili.


Njooni, nitakuambieni juu ya mnyama wamaya zaidi, wale ambao hati akili; ; Hao ndio wanaotazama joto la Kuzimu la saqar likipiga Ncha ya Kaskazini na Ncha ya Kusini ili kuziyeyusha pamoja; Baridi ya Arctic inatolewa kuelekea kusini, NASA, Trump, Musk na wengineo wanajua sababu ya dhoruba za theluji zinazoendelea kuikumba Marekani hadi kufikia kiwango cha theluji inayoanguka katika maeneo ya pwani ya kusini mwa Amerika Kaskazini kwa mara ya kwanza katika historia yao! Wanajua kwamba ni kutokana na mvutano mkali wa joto ambao hupiga ncha kaskazini, lakini hawajui chanzo cha joto hili lililosukuma vortex ya Aktiki kuelekea Amerika na Kanada. Kisha tunawakumbusha Kwa Kauli Ya Allah Ta3ala:
{أَوَلَمْ يَرَوْا۟ أَنَّا نَأْتِى ٱلْأَرْضَ نَنقُصُهَا مِنْ أَطْرَافِهَا ۚ وَٱللَّهُ يَحْكُمُ لَا مُعَقِّبَ لِحُكْمِهِۦ ۚ وَهُوَ سَرِيعُ ٱلْحِسَابِ ‎﴿٤١﴾‏ وَقَدْ مَكَرَ ٱلَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ فَلِلَّهِ ٱلْمَكْرُ جَمِيعًا ۖ يَعْلَمُ مَا تَكْسِبُ كُلُّ نَفْسٍ ۗ وَسَيَعْلَمُ ٱلْكُفَّٰرُ لِمَنْ عُقْبَى ٱلدَّارِ ‎﴿٤٢﴾‏}
Sadaqa Allah Al3adhim:[Al’Raad].


Sababu ya baridi kali ni msukumo wa joto la sayari ya Saqar, ambalo huondoa kuba la Ncha ya Kaskazini na kuisogeza kuelekea kusini, kuelekea Kanada, Amerika Kaskazini, na zingine. Kadhalika, joto kali husababishwa na kupumua kwa joto la sayari ya Saqar kutokana na kasi ya hasira yake kwa watu wenye chuki inapowaona;
Kusadisha moja ya dalili kuu za Saa, ambayo ilisababisha joto kali na baridi kali, utaona ni kweli katika uhalisia halisi kwamba hakika ni sayari ya Jahannam, Saqar, kama tulivowafafanulia kwa undani katika Qur’ani Tukufu ufafanuzi mkuu, Na kama alivyokujulisheni Muhammad, Mtumi wa Mwenyezi Mungu (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa


sallam) na aali zake na amani ziwafikie, alisema: [Moto ukamlalamikia Mola wake Mlezi na ukasema: “Mola wangu, baadhi ya sehemu zangu huziteketeza nyinginezo, kwa hiyo akairuhusu kuvuta pumzi mbili: moja wakati wa baridi na moja wakati wa kiangazi joto kali zaidi unalolipata.] Amesa kweli Swalah na salamu za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake.


Na Ikiwa mulikuwa na akili, mungejiuliza: Ncha ya Kaskazini inayeyuka vipi wakati huu wa baridi kutokana na mwanga wa joto uliojificha, ingawa jua limezama katika Ncha ya Kusini na kuiacha Ncha ya Kaskazini kwenye giza totoro kutokana na jua kuzama huko kwa muda wa miezi sita?! Na
Swali linalojitokeza kwa sababu na mantiki: Ni joto lipi linaweza kuyeyusha Ncha ya Kaskazini katikati ya msimu wa baridi? Je, hamuelewi?! Kwakua Jua halipo katika Ncha ya Kaskazini wakati wa baridi yake! Na Jibu: Ni joto la sayari ya Jahannam (Saqar). Walichosema tu ni: "Wimbi la joto la ghafla katika stratosphere ya asili isiyojulikana."Oh, ni ajabu iliyoje, Enyi Waarabu na Waajemi! Ni kana kwamba ni joto la kawaida; Hapana, hapana! Na Mola Mlezi wa ardhi na mbingu, hakuna kinachoweza kuyeyusha nguzo katika majira ya baridi kali isipokuwa joto la Jahannam ambalo ni kali kuliko jua. Ametakasika aliyechagua wakati na mahali pa kusimamisha hoja, kwani hakuna jua wakati wa msimu wa baridi ya ncha ya antaktika; Na munajua jinsi Ncha ya Kaskazini inavyo kua temperature yake wa mwaka, ambayo ni (digrii hamsini na moja chini ya sifuri). Ni nini kinachoweza kuinua halijoto ya Ncha ya Kaskazini hadi zaidi ya sifuri isipokuwa joto la sayari inayowaka moto zaidi kuliko jua? Je, huelewi habari kabla ya usiku kutangulia mchana kutokana na kupita sayari ya Saqar kutoka upande wa kusini mwa Ardhi? Hivo hamitafakari?! Basi hamukumuamini Mwenyezi Mungu wala Muhammad Mtumi wa Mwenyezi Mungu na Khalifa wa Mwenyezi Mungu juu ya walimwengu wote (Imam Mahdi Nasser Muhammad Al-Yamani) Munaamini tu kile NASA inakuamuru! Lakini naapa kwa Mwenyezi Mungu, anayeipa uhai mifupa ikiwa imeoza, kwamba NASA, Trump na wafuasi wao wamejua tangu mwisho wa mwaka (2020) Na ikawa wazi kwao kwamba gesi kutoka kwa viwanda vyao hazikuwa na uhusiano na joto la nguzo za Dunia. Kilichowafundisha somo hili ni Covid (Corona); kwakua Ilipofunga ulimwengu na kusimamisha gurudumu la maisha la viwanda vyao vya kaboni kwa mwaka mzima (2020); Walifikiri kwamba joto la Ncha ya Kaskazini lingeondoka, Mpaka pindi majira ya joto ya ishirini ishirini yanakuja, wakashangaa na majanga ya hali ya hewa zaidi kuliko hapo awali (kuendelea); Mara moja waligundua kuwa ongezeko la joto duniani halina uhusiano wowote na kaboni iliyotengenezwa na viwanda va binadamu, Kwa hivyo huna chaguo ila kuamini kwamba sababu ni joto la sayari ya Saqar; Ndio maana Donald Trump alijiondoa kwenye mkutano wa kilele wa hali ya hewa wa Paris.


Na eee Subhana Allah Al3adhim, Je, Waislamu hawataki kumwamini Mwenyezi Mungu, Na Mtumi Wake, na Khalifa wa Mungu,ili muamini mwito wa Mungu, Mpaka iamini NASA ya Marekani, ambayo huwahadaa Waislamu na kuwahadaa ulimwengu wa walioghafilika?! Je! Mwenyezi Mungu si mbora wa mahakimu na mbora wa kushinda?


Bado nasema kile ambacho Mungu aliniamrisha nikiseme katika Quran kuu:
{قَٰلَ رَبِّ ٱحْكُم بِٱلْحَقِّ ۗ وَرَبُّنَا ٱلرَّحْمَٰنُ ٱلْمُسْتَعَانُ عَلَىٰ مَا تَصِفُونَ ‎﴿١١٢﴾‏}
Sadaqa Allah Al3adhim [Sura:Al-Anmbia].


Na Salam Ju Ya Mitumi Na Al’Hamdulillah Rabil3alamin.
Na Ramadhani iliyo barikiwa kwa kutangulia kwa Waislamu kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote na wale wote ambao lau wangemjua mlinganiaji wa haki kutoka kwa Mola wao Mlezi wangefuata njia iliyonyooka na Mwenyezi Mungu ndiye anayejua zaidi yaliyomo katika nyoyo za walimwengu, na Yeye ndiye mjuzi zaidi wa wenye kushukuru.


Khalifa Wa Allah Ju Ya Ulimwengu Al’Imam Al’Mahdi; Nasser Muhammad Al’Yamani.
خليفةُ الله على العالمين الإمام المهديّ؛ ناصر محمد اليمانيّ.
______

======== اقتباس =========
اقتباس: اضغط للقراءة